Serekali ya Rais Dkt.Mwinyi inathamini mchango unaotolewa na viongozi wa Dini.
Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Rais Dk.Hussen Ali Mwinyi inathamini mchango unaotolewa na viongozi wa Dini hali inayopelekea kudumisha Amani na Utulivu. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla alieleza hayo katika mkutano uliojadili nafasi ya viongozi wa Dini katika kudumisha Amani na utulivu uliofanyika katika ukumbi wa shekh Idrissa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed